Tunapenda kuwataarifu wanafunzi wote nchini kwamba mtandao wa wanafunzi tanzania {TSNP} umeongeza Ushirika na asasi nyingine isiyo ya kiserikali iitwayo CHAKUA-CHAMA CHA KUTETEA ABIRIA TANZANIA mnamo tar. 28.07.2015. Tumepanga kushirikiana katika mambo ambayo kikatiba yanarandana.
Chini ni picha za matukio wakati wa kikao cha kuunda ushirika.
Na:
Katibu wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania
Alphonce Lusako M
tsnp.students@yahoo.com
Pichani ni viongozi wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania TSNP na viongozi wa chama cha kitetea abiria -CHAKUA |
No comments:
Post a Comment
Students!!!!!!!!!
For Nation....
Students!!!!!!!!!
Together we have the power.